Jana kupitia istagram mwanadada Tiwa savage first lady wa Marvin records ya Don Jazzy ameshare picha akisaini deal la mahela mengi baada ya kuteuliwa kuwa balozi wa MTN.Kupitia vyanzo vya kuaminika deal hilo ni la kama naira milioni 30 hivi!
Hivi karibuni pia mwanamuziki Iyanya alisign deal la kuwa balozi wa MTN pia kwa dau kama la naira milion 60 hivi..Cheki picha
Wengine waliosign deal hilo ni Davido na Kcee..Mfano mzuri na wa kuigwa kwa makumpuni na wasanii hapa Tanzania.


0 Maoni:
Toa Maoni