Malkia wa mipasho kurejea tena mzigoni.

Malkia wa mipasho Afrika Khadija Omary Kopa anatarajia kurejea tena katika muziki kutoka katika mapumziko ya Eda baada ya kufiwa na mumewe.

Kupitia ukurasa wake mpya katika mtandao wa kijamii wa Instagram Khadija amepost picha na kufunguka kuhusu kurejea kwake.
malkia_wa_mipasho_africa
alhamdullilah namaliza eda tarehe 13 mwezu huu.na show yangu ya kwanza ni tarehe 19 kwahiyo tukutane dar live nawapenda wote.

0 Maoni:

Toa Maoni