Uzembe wa mama wasababisha mtoto wa miezi 8 kuwa na kilo 20!

Aisee umeisikia hii? Santiago Mendoza mtoto mwenye umri wa miezi 8 sasa anasadikika ndio mtoto mnene zaidi akiwa na uzito wa kilo 20 sawa na mtotto wa miaka 6 huko nchini Colombia!
Mama yake anakiri kuwa uzembe wake ndio uliosababisha mtoto wake awe na uzito mkubwa kuliko kawaida kwani kila mtoto huyo anapolia amekuwa akimshindilia misosi na maziwa ili anyamaze kitu kilichopelekea uzito kuongezeka kwa kasi!

Kwa sasa mtoto huyo amepewa msaada wa kupelekwa  sehemu wanayoweza kuokoa maisha yake kwani amekuwa akilazwa kila mara kutokana na  uzito wake kuwa mkubwa kitu kinachoweza kuleta madhara makubwa kiafya... kilo 20 miezi 8 si kawaida aisee!

Cheki picha mtoto huyo.

0 Maoni:

Toa Maoni