'Zero distance' ya Mr Flavour na mwanaume mwenzake yaleta balaa!


 
Mkali wa hit song  'Ashawo' kutoka nchini Nigeria Mr.Flavour amezua gumzo kwene mtandao baada ya kutupia picha akiwa kwenye swimming pool na rafiki yake mwanaume huku wakiwa kwenye mavazi ya kuogelea tena zero distance.

Picha hiyo iliibua mjadala mzito huku wengine wakimtuhumu kuwa anaelekea kwenye ushoga mmh..cheki picha hiyo chini na baadhi ya comment za mashabiki..


0 Maoni:

Toa Maoni