Muimbaji huyo alitamba na bendi za Tam Tam na Double M Sound,amefia nchini Thailand alipokuwa akiishi kikazi kwa muda mrefu.Moja ya nyimbo zilizompa umaarufu ni Mgumba No.1 aliouimba na bendi ya African Revolution 'Tam Tam' chini ya Mwinjuma Muumin.
![]() |
| Amina Ngaluma aliyesimama |
Tungependa kuwapa pole ndugu,jamaa na marafiki wa karibu wa familia,mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi Amen.
Habari kwa hisani tovuti ya Times fm.



0 Maoni:
Toa Maoni