PICHA: Tamasha la Mitikisiko ya Pwani full kujiachia!


Siku ya jumamosi tarehe 13 ndani ya ukumbi wa Dar Live Mbagala, lilifanyika Tamasha la Mitikisiko ya Pwani linalofanywa kila mwaka na radio Times fm.

Shuka chini hapa kujionea picha , matukio, tulivyojiachia na mambo yalivyonoga siku hiyo ya Tamasha..



Mbali na u-blogger na utangazaji,upiga picha pia nauweza lol!
Nikiwa na Timu yangu ya Hatua Tatu..katikati ni Mkisi Juniar na pembeni ni DJ Rguy
Na Dida

0 Maoni:

Toa Maoni