Hebu cheki utandawazi unavyotuharibu..Selfie hizi 10 zinathibitisha


Ukitaka kujua jinsi utandawazi ulivyotuaribu watu kwa sasa hebu chukua muda wako kucheki hizi selfie kupitia MamuAfrica blog ambazo pengine waliopiga hawakujua kama zitakuwa na tatizo au pengine walipiga kwa makusudi kabisa lakini watizamaji tumetoka na tafsiri tofauti...

Shuka nazo hapa;

Huyu haijajulikana lengo hasa lilikuwa nini hasa ila selfie yake ni kituko

Huyu nae...

Huyu alitaka selfie yake iwe kituko lakini badala yake inatia kinyaa kwa alivyotia mdomoni

Majanga



Huyu wakati anaji selfisha mwenzake nyuma yuko kwenye haja.. haha!

Huyu wakati anachukua Selfie akiwa na furaha hakujali nyumba kuna malaika(mtoto) alikuwa akilia na ikionekano anakula kisago!


Pengine haikuwa lengo ionekane mpaka chini ila ni ajabu maana jamaa anajisaidia huku nguoyake ya ndani ikiwa miguuni lol!

Jamaa anajipa selfie huku bibi yuko kwenye jeneza nyuma!!!


Wakati nyumba yako inaungua na unaita zimamoto halafu wanakuja  na badala ya kufanya kazi yao unakuta wanafanya kama huyu jamaa pichani utafanyaje? Jamaa anapiga selfie hana wasiwasi miwani imemuumbua baada ya  koti lake la kazi kuonekana na kufahamika ni mmoja wa wahudumu wa kitengo!

Huyu kaamua kutuonyesha 'wezele' huku mtoto akiwa anajionea majanga pembeni

Huku mgonjwa nyuma yake akiwa taabani bidada alikuwa anachukua selfie

Selfie bafuni na misosi lol!

0 Maoni:

Toa Maoni