Banana Zorro anakuja na jirani

Tukizungumzia wasanii wakali nchini Tanzania huwezi kuacha kumtaja  Banana Zorro,sasa habari nzuri kutoka kwake ni kwamba anatarajia kutoka na ngoma mpya aliyoipa jina la JIRANI ambayo inatarajia kutoka baada ya mfungo wa Ramadhan.Kaa tayari kwa kitu kipya!


0 Maoni:

Toa Maoni