Cheki ndinga mpya ya Davido na Iyanya

Omo baba Olowo Davido anaunga tela kwenye list ya mastaa kutoka nchini Nigeria walionunua ndinga kali hivi karibuni baada ya kuvuta ya kwake aina ya Mercedes Benz SUV (G55) yenye thamani ya Naira million 20 kwa mujibu wa vyanzo vya habari huko Nigeria.

Kupitia ukurasa wake wa twitter mwanamuziki huyo mdogo na mwenye mafanikio Davido aliandika..
"Can't wait for my baby to land! G55 AMG! Thank u Lord!"


  Hivi karibuni mkali wa Kukere Iyanya nae alivuta Mercedes Benz E350..Cheki hapo chini

0 Maoni:

Toa Maoni