Weekend ilikuwa nzuri kwa baadhi ya watangazaji wa Times fm baada ya kuaga ukapera .Ijumaa mtangazaji wa kipindi cha sunrise Samira Suleimani alifunga ndoa huko visiwani Zanzibar.
 |
| Samira na mume wake |
Pia msanii mkongwe wa filamu na mtangazaji wa kipindi cha Filamonata Susan Lewis maarufu kama Natasha nae alifunga ndoa katika kanisa la mt. Joseph hapa mjini Dar es salaam.
 |
| Natasha na mumewe na mtoto wake Monalisa |
Ndoa ni jambo la kheri, Mamu Africa inawatakia kila la kheri katika maisha mapya ya ndoa na mdumu inshallah.
0 Maoni:
Toa Maoni