Ice Prince ndani ya The PlayList

Mkali kutoka nchini Nigeria Ice Prince Zamani atakuwa ndani ya The PlayList ya Times Fm Jumapili July 28 na Lil Ommy.

Ice Prince atachagua ngoma tano anazozipenda,atazungumzia albam yake mpya #FOZ,wasifu wake na tuzo za BET 13.

Ni kuanzia saa 10 mpaka saa 11 jioni #THESTARSREQUESTSHOWS

0 Maoni:

Toa Maoni