![]() |
| Anabel |
![]() |
| Sulu |
Kila jumapili eviction hufanyika ambapo washiriki wawili wanaokuwa Nomonated huaga shindano.Kitendo cha Sulu kutoka ambae alikuwa maarufiu kwa uchekeshaji kimefanya washiriki kupata hofu kwa kuona shindano halitabiriki kwa sasa baada ya wiki iliyopita Bassey kutoka Siera Lione ambaye pia alikuwa ni mmoja ya waburudishaji nae kuaga.
Tanzania imebakiza na mshiriki mmoja tu anayewakilisha ambaye ni Feza baada ya Nando kuwa disqualified kwa kuvunja masharti.


0 Maoni:
Toa Maoni