Kama utakumbuka Hakeem kutoka Zimbamwe na Bolt wa Siera Lione walishaondoka siku za nyuma. ina maana zimebaki nchi tatu zenye washiriki waliokamilika Tanzania (Nando & Feza), Zambia (Sulu & Cleo) na Nigeria (Melvin & Beverly) nchi zilizobaki Botswana,Namibia na Afrika kusini kuna mshiriki mmoja mmoja tu.
Nani ataibuka na kitita na kuibuka kidedea? Tuzidi kuwapigia kura washiriki wetu Feza na Nando waendelee kubaki mjengoni.

0 Maoni:
Toa Maoni