Wakati kukiwa na maswali bado ya nini kitafata,Elikem hajanesha kukerwa na video hiyo ya ngono! "Ndio nimeiona hiyo sextape..sitaki kusema ni kitu kizuri ila Pokello alishaniambia kuhusu tape hiyo toka mwanzo kwa hiyo sio ishu sana kwangu"alisema Elikem.
Kama ulikuwa hujui basi Mamu Africa blog inakupa habari motomoto kuwa Ijumaa hii September 06 Elikem anaenda kutambulishwa rasmi Zimbabwe..ukweni! Cheki alichopost Pokello asubuhi ya leo kupitia twitter account yake.



0 Maoni:
Toa Maoni