Kibaka mzoefu ajikata mikono yake kuepuka majanga

Kijana mwenye miaka 28 Alli Afifi kutoka Misri kaamua kuikata mikono yake miwili kama njia ya kujisalimisha baada kukubuhu kwenye wizi.
Kijana Ally baada ya kujikata mikono yake
Ali alipoteza mkono wake mmoja mwaka 2008 baada ya kuuweka kwa muda kwenye wheel ya treni inayoenda kwa kasi.

Wiki chache zilizopita Ali alienda kwa Imam msikitini kumuomba ammalizie kukata mkono mwingine maana kashindwa kabisa kuacha wizi! "Sheikh alikataa akasema yeye hawezi kunihukumu wala hawezi kuchukua maamuzi hayo ila akashauri nimrudie mungu mwenyewe nikaamua kuikata'' amesema Ally.

Unafikiri ni uamuzi wa busara alioufanya Ally?

0 Maoni:

Toa Maoni