PICHA: Team Hatua Tatu ndani ya Mwanza

Kipindi cha Hatua Tatu  ni kipindi kinachoruka kila siku za Jumatatu mpaka Ijumaa saa 3 asubuhi mpaka saa 6 mchana kupitia 100.5 Times fm.Hatua Tatu ni kipindi kinachogusa mambo tofauti ikiwemo ya kijamii,burudani,elimu na muziki mzuri n.k kikiwa kinafanywa na mie Maryam kwa kushirikiana na wenzangu Edson Mkisi Jr na Dj Rguy na Prodyuza wetu Cliford Mario Ndimbo.

Kipindi chetu kilishinda na kuwa kipindi bora kati ya vingine na kwa kutambua mchang wetu uongozi wa Times fm kwa ujumla ukatuzawadia trip ya kwenda Mwanza ku-enjoy.

Safari yetu ilianza ijumaa na tuakarudi jumapili jioni.
Mie mwenyewe
Edson Mkisi JR
Team Hatua Tatu
Dada yenu
Cliford Ndimbo
Dj R guy
Karibu Mwanza
Mwanza raha

 Mr. Prodyuza Cliford Ndimbo
Dj R Guy
Mkisi Digital

Tukirejea bongo

4 comments: