Pokello atakuwa Ghana kwa muda wa wiki tatu akifanya ziara kama ilivyokuwa kwa Elikem alipokuwa nchini kwao Zimbabwe ambapo alihudhuria party iliyoandaliwa kwa ajili yao,aliwatembelea wazazi wa Pokello na kukutana na mashabiki wake pia..mmh mapenzi sasa yamekuwa motomoto!
Cheki video ya mapokezi waliyopata walipokanyaga Ghana

0 Maoni:
Toa Maoni