Katika gazeti la 'Tanuru la filamu' Wema ameandikwa katika ukurasa wa mbele kabisa kitu kilicho msikitisha kutokana na alichoandikwa kupitia mtandao wa kijamii Instagram amekopy ukurasa huo wa mbele wa gazeti na kuelezea masikitiko yake,soma hapo chini...
![]() | |
| ''Hahahahha..
haya niombeeni watanzania.... aisee... magazeti ni noumerrr... mambo ya
kunyongwa tena na wakati sufuria zina shake zenyewe... dah... this made
my day...'' Ameandika Wema. | |
'I jus hate waandishi wa habari wa ya mageziti ya bongo.. hususan visa nd filamu...
— Wema Sepetu (@wema_sepetu) October 1, 2013'


0 Maoni:
Toa Maoni