PICHA: Alichofanyiwa Diamond na baby wake kama zawadi ya birthday

Jana ilikuwa ni birthday ya staa wa muziki Bongo fleva hapa Tanzania Diamond Platnumz na kwa hisani ya website yake This is Diamond hiki ndicho alichofanyiwa kama suprise na familia pamoja na mpenzi wake Penny.
Bebe Beibe..(kwa sauti ya Chid Benz)
La Familia
Qeen Darling na kaka yake
Maakuli yalikuwepo

Tuhamie upande wa pili sasa..malove dove
Suprise kutoka kwa mpenzi
Ni kama wanasema "Watuwache tulale"

0 Maoni:

Toa Maoni