December 2012 Wizkid alifunguka tena katika Interview kuwa ''Hizo ni tetesi tu na hata kama nina mtoto hicho sio kitu cha aibu badala yake ningeibuka na kusema mimi ni baba,kila mtu anafanya makosa.Sina mtoto popote"
Akizungumza Oluwanishola Ogudugu amesema mwanzo Wizkid alimkataa kabisa na hata alipoibuka kwenye vyombo vya habari na kutoboa siri hiyo hakuna aliyemjali!
Inaonekana sasa Wizkid amekuwa maana kakubali majukumu yake kama baba na hivi karibuni ali-share picha yake na mtoto kuonyesha ajnajivunia kuwa baba!




0 Maoni:
Toa Maoni