Hii sasa kali.. Iyanya na keki yake ya ajabu ya birthday!

Staa muziki kutoka nchini Nigeria ambaye siku chache alitua Bongo,Kukere master Iyanya amepokea zawadi ya keki ya birthday kutoka kwa meneja wake Ubi Franklin na team yake ya muziki.

Kupokea keki si ajabu,ajabu ni aina ya keki aliyopewa! Hebu icheki hapo chini..lol



Pia meneja alimpatia Iyanya zawadi ya saa ya bei mbaya aina ya Rolex yenye thamani ya dola za kimarekani 25,000 huku akipokea zawadi ya perfume za bei mbaya duniani kutoka kwa mpenzi wake..zicheki kwenye picha.





0 Maoni:

Toa Maoni