Akiwa katika dimbwi la mahaba na mrembo kutoka Tanzania Starlisha Tilya,Prezzo alimnadi mrembo huyo Instagram na kisha Huddah kuponda kwa kumwambia amefulia!
Cheki alichoandika Huddah!
Na huyu ndiye mrembo mpya wa Prezzo Starlisha.
Ni Mtangazaji, Mwandishi, Blogger na Mama wa mtoto mmoja. Karibu katika kijiwe cha habari motomoto, burudani na udaku.
0 Maoni:
Toa Maoni