Nyerere anasema hayo ni moja ya mafanikio ambayo anayapata kupitia filamu yanayomuwezesha kununua gari ya tahamani kama hiyo pamoja na kufanya mambo mengine ya maisha.
Nyota huyo anayejiandaa kuingiza filamu nyingine mpya sokoni anasema gari hiyo ni moja ya mali zake ambazo anamiliki na ambayo ameiweka hadharani.
0 Maoni:
Toa Maoni