Hatimaye Paul Walker azikwa wiki mbili baada ya ajali..

Japo bado ni ngumu kuamini kuwa staa wa Fast & Furious Paul Walker hatunaye tena duniani lakini ukweli unabaki palepale kuwa ni kweli ameondoka na hatarudi tena na weekend iliyoisha amezikwa.


Ikiwa  baada ya wiki  toka afariki hatimaye marafiki wa karibu na ndugu walipata nafasi ya mwisho ya kusema kwa heri kwa muigizaji huyo ambae kifo chake kilisababishwa na ajali ya gari lililopata ajali na kuwaka moto.
Uchunguzi zaidi kuhusu kifo chake bado unaendelea.Mungu ampumzishe kwa amani huko aliko.

0 Maoni:

Toa Maoni