Wakati huo huo,Kim amepamba ukurasa wa mbele wa Magazine ya US Weekly lililotoka mwezi huu December na kuanika figure yake yenye mvuto ndani ya bikini na hiyo ni baada ya miezi sita toka aitwe mama yaani ajifungue.
Mwanadada huyo asiyekauka katika mitandao kila mara amezua gumzo baada ya watu kuibuka na kudai ameifanyia pua yake Surgery ili azidi kuwa na mvuto....hebu cheki hii picha kisha niambie kuna tofauti yoyote unaona?



0 Maoni:
Toa Maoni