 |
| MamuAfrica |
Jumamosi tarehe 14 ndani ya ukumbi wa Dar Live Mbagala Zakhiem ndipo lilifanyika tamasha kubwa la taarabu ambalo hufanyika mara moja tu kwa mwaka kwa kuletwa kwako na Times fm 100.5 huku bendi tano za Taarab yaani Jahaza, Mashauzi,Supershine,Khadija Kopa na Five stars zilifanya makamuzi ya kufa mtu siku hiyo.
Jionee picha zaidi watu tulivyojiachia tamashani..
 |
| Mie na shemeji yenu tuliwakilisha |
 |
| Nikiwa na Fatma Chikawe kutoka Times fm Wizara ya michezo |
 |
| One B 'Moko biashara', Marry na mie |
 |
| MamuAfrica,Mke halali wa ClifordMario Ndimbo..mie mwenyewe |
 |
| Nikiwa na dada yangu Saida au kubwa la maadui |
 |
| Monalisa na Sandy B |
 |
| Mrs. Ndimbo, Dida The Rocker muke ya Ezden na Hanifa Mulid au Jike la chui |
 |
| Wake za watu lol |
 |
| Kutoka redio nyingine watangazaji wenzetu walijitokeza kushow love, kushoto ni Hawa Hassan wa ITV na kulia ni Mwanne kutoka EA Radio |
 |
| Ummy Suleiman akiwa na Hawa na Mwanne |
 |
| Malkia wa mipasho na Hawa |
 |
| Cliford Ndimbo na Monalisa |
 |
| Malkia wa Mipasho Khadija Kopa akikamua |
 |
| Ezden The Rocker, Cliford Ndimbo (Hubby wa mie) na miee |
0 Maoni:
Toa Maoni