Brandy alikuwa Abdijan,Cote d'Ivoire siku chache zilizopita kwa ajili ya kupafomu na kutuma picha hii ya kwanza aliyoipa caption ya 'Beauty' na kufanya watu kumshambulia kwa kumuuliza katika vyotee huo ndio uzuri pekee alioona au anadhihaki umaskini wa Afrika!
Baada ya kwanza alipost na hii ya pili huku akiandika "Depth'' na kuzidisha hasira za walioona post yake..cheki mwenyewe watu walivyotiririka!









0 Maoni:
Toa Maoni