PICHA ZA AQDI YANGU...BOFYA HAPA!

Ijumaa November 29 nilifunga ndoa kwa hiyo hizi ni baadhi ya picha za tukio na mambo yalivyokwenda.

Hapa nilikuwa natoka saloon..,MAC saloon walihusika kunipendezesha
Baada ya kufika home
Dua ikasomwa
Ndoa ikifungwa

Nshakukabidhi mke..ukamtunze dada yangu ohoo si unaona alivyo mashallah? lol kaka yangu huyo aitwa Ally
Bwana harusi akifunua kifaa chake..huyu ndio mke wangu kweli!
Tumependeza hatujapendezaa?
 


Mama kipenzi,mama mzazi..mama Maryam
Kuitwa mama raha,naitwa mama Cole mie na huyu ndiye Cole
Kutoka Times fm kipindi cha Hatua Tatu Edson Mkisi Jr nae ali-show love
Shoga yangu Janeth alikuwepo pia
Dada la dada Saida

2 comments:

  1. pendeza sana mrs ndimbo

    ReplyDelete
  2. Hongereni sana. Mi nilijua nyie wakristo maana majina yenu yamekaa kikristo

    ReplyDelete