PICHA ZAIDI: Baada ya ndoa ni ikafata Dinner and Dance party Nyumbani Lounge.

Baada ya Aqdi siku ya ijumaa,jumapili tukajumuika na ndugu ,jamaa na marafiki katika Dinner & Dance Party pale Nyumbani Lounge huku shughuli ya ikiendesha na Gadner G Habash, Sandra Temu 'Sandy B' , One B Moko biashara na Ezden Jumanne 'The Rocker'..Haya shuka nayo.


MAC Saloon walifanya yao..wanaweza sana wako Sinza maeneo ya Meeda ukitokea njia ya Mlimani city ni kabla ya Meeda Ukitokea Mori ni baada ya kuipita kidogo Meeda
Gauni My Wedding Solution waliniwezesha,wana magauni ya kisasa kwa bei nafuu pia wako Sinza Mugabe au wa-follow Instagram @myweddingsolution

Nikijiandaa kushuka na kuingia ukumbini
Dance ilihusika wakati maharusi tukiingia ukumbini
Monalisa alifungua Champaigne
Othman Michuzi pia alihusika kwenye ufunguaji wa champaigne
Ezden The Rocker akifanya yake
Muda wa maakuli
Bwana Harusi akicheza na Hellen Mnzava
Dj R guy akituchezesha
Ezden na Sie
One B 'Moko Biashara' akiwa na Monalisa
Nikiwa na Fadhili Haule wa kipindi cha Sunrise cha Times fm
Hellen na Ezden
Shamimi Mlacha kutoka Mlimani radio
Team Times fm,kutoka kulia Dj Ku,Dj Jorsy Bless,Gadner,Ezden na Moko biashara
Mama zangu wakiwa na Cole wangu
Natasha pia alikuwepo
Rahabu kutoka kitengo cha Habari Times fm akiwa na mumewe Fredwaa wa kipindi cha Sunrise
Dickson,huyu yupo kwenye upande wa Marketing
Raymond Msoma yeye ana-deal na account
Dj Dommy kutoka Times fm
Omary Tambe 'Lil Ommy' prodyuza mashuhuri pale Times fm
Dada yangu Saida
Wanter
Utambulisho muhimu..kaka yangu Ally akiwa na Cole
Moko biashara na Fadhili Haule wakibeba zawadi
Fadhil akitunza manotii
Cole na mama yakee
Mama mzazi
Sandy B na bwana harusi

1 comment:

  1. Is it a coincedence au vp?Nyumbani ni Nyumbani mnaoana wenyewe kwa wenyewe au inatokea tu????sielewiiiii

    ReplyDelete