Mastaa na wanapobadilika kama kinyonga baada ya Plastic surgery!

Tumekuwa tukikutana na mabinti wanaojichubua, wengine huko majuu wenye pesa zao wamekuwa wakifanya plastic surgery ili kutengeneza uzuri wao zaidi kifupi  wanawake wamekuwa na aina nyingi za kujibadili muonekano pale wanaposhindwa kujitambua na kujiamini kuwa ni warembo. Mmoja wa aina hiyo wa wanawake ni Mama kijacho wetu yaani Lil Kim..

Nakupa nafasi ya kuchek picha tofauti za rapper huyo kuanzia mwaka 2009 alipoanza kujibadilibadili uso wake kama kinyonga.



Mwanamuziki Fergie nae hayuko nyuma.

 Nick Minaj..

Joan River

Mama North nae yumo..

Miley Cyrus nae alifanyia ukarabati pua yake pua yake

Adele nae pua ilitengenezwa

Rihana nae pua ilifanyiwa mandingo...

0 Maoni:

Toa Maoni