Kutana na kijana anayetumikia injili wakati huohuo amejitangaza kuwa ni 'mwanaume tata'!

 
Kutana na mwimbaji wa Injili kutoka nchini Kenya ambaye kwa ujasiri mkubwa alijitokeza hadharani na kusema kuwa yeye ni shoga (anajihusisha na mapenzi ya jinsia moja) pia muathirika wa virusi vya UKIMWI!


Si kwamba ilikuwa rahisi kama unavyofikiri..jamaa huyualikutana na wakati mgumu sana baada ya watu kumshambulia sana kiasi cha kufikia kujitetea kwenye mtandao baada kuandika na ya ku-post hii..
"God why would ou allow people to mock me like that? Am I not your child? Then who created me?"
 Joji hivi karibuni kamtambulisha mpenzi wake wa maisha facebook  bila uwoga tena huku akitupia picha ya jamaa huyo na maneno haya....
“ Son amour ne connaît pas de frontières barrières du temps et de la distance”  Kwa kingereza maana yake ni“His love knows no barriers boundaries of time and distance

Hizi ni picha za Joji Baro...
 

0 Maoni:

Toa Maoni