Peter Okoye wa P-Square ame-share picha ya mkoko wake mpya na wa bei mbaya aina 2014 Bentley GT huku mwenyewe akiutambulisha kama 'baby wake mpya' huku thamani yake ikitajwa ni zaidi ya Naira milioni 30.
Cheki alichooandika na picha za gari hilo;
Ni Mtangazaji, Mwandishi, Blogger na Mama wa mtoto mmoja. Karibu katika kijiwe cha habari motomoto, burudani na udaku.
0 Maoni:
Toa Maoni