Shantel ali-post picha Instagram akiwa na rapa Nelly na kumuita ni rafiki wa kweli huku kukiwa na tetesi kuwa ni wapenzi japo Nelly amekanusha hilo.Muda mfupi baadae Bingwa huyo wa masumbwi nae akaibuka
akiwa ame-post picha ya Ultra Sound yenye jina la Shantel akimshutumu kwa kutoa mimba ya mapacha kitu kilichotafsiriwa ni wivu unamsumbua!
Baada ya muda mfupi MayWeather aliifuta picha hiyo lakini wajuzi wa mambo walishaidaka..kweli wivu kidonda na ukishiriki utakonda lol!
| Hii ndio picha aliopost Shantel instagram akiwa na Nelly |
| Na hiki ndicho alichopost Mayweather |

0 Maoni:
Toa Maoni