Habari ya mujini.. Jay Z ala kichapo kutoka kwa shemeji yake!

Jay Z alijikuta akishambuliwa na mdogo wake Beyonce anaejulikana kwa jina la Solange wakati wakiwa ndani ya lift.

Beyonce, Jay Z na Solange walikuwa wakitoka kwenye After Party huko New York iliyofanyika Standard Hotel. Solange alimshambulia Jay Z kwa Mateke na makofi huku Beyonce akiwa amesimama anaangalia wakati Jigga akijaribu kujilinda.

Sababu ya Solange kufanya tukio hilo bado haijafahamika.

               

0 Maoni:

Toa Maoni