PICHA:Lil Kim amkaribisha baby Royal Reign,Ciara ajiachia mtaani na kichanga chake

Lil Kim na baba mtoto
Member wa zamani wa Junior MAFIA, Lil Kim kwa sasa anaitwa mama baada ya june 9 majira ya asubuhi kujifungua mtoto wa kike akiwa ni mtoto wa kwanza kwake akiwa na miaka 39.

Mtoto huyo amepatiwa amepatiwa jina la Royal Reign...Royal Reign ni princess mwingine kutoka kwa mwanadada huyu huku akiungana na mastaa wenzake Beyonce na Jay Z(Blue Ivy ) na Kanye West na Kim Kardashian (North West ).Kim  amempata mtoto huyo na rapper wa Marekani anaefahamika kwa jina la Mr. Paper.

Wakati Lil Kim akiingia kwenye ulimwengu wa 'umama' mwanamuziki Ciara tayari yuko fiti na kashaanza kukata mitaa ikiwa ni wiki tatu baada ya kujifungua mtoto wa kiumeFuture Zahir Wilbum

Na uzito wa uzazi ushapungua yaani yuko fiti

0 Maoni:

Toa Maoni