PICHA: Yaliyojiri kwenye mechi ya Times fm na Mbagala Veterans

Mchanganyiko wa picha nilipopata nafasi ya kusalimiana na mashabiki
Jumamosi kulikuwa na mechi Mbagala kati ya Times fm The dream team na Mbagala Veterans ambapo matokeo yalikuwa ni sare ya 1-1.

Mechi ilichezwa uwanja wa Zakhiem na wananchi kutokana maeneo mbalimbali walifurika sana na kuonyeza mapenzi ya kutoka.

Hizi ni picha za baadhi ya matukio siku hiyo..


Kushoto Zourha Malisa, mimi katikati na Omary Tambwe
Mkurugenzi wa Times fm Mr. Rehure Nyaulawa
Fadhili Haule
Mambo yalikuwa hivii

Cliford Mario Ndimbo akisalimiana na mashabiki
Lil Ommy
Aliyeshika mic anaitwa Moko biashara,anayeandika ni Dj R Guy
Dida akizungumza na mashabiki wake
Mkisi na mashabiki
Mimi na mashabiki, walionyesha love ya kutosha
Cliford Ndimbo
Kulinogajee

0 Maoni:

Toa Maoni