Binti aibuka na kumnanga mpenzi wa Wizkid kweupee huku akidai yeye ni kimada wa kudumu!

Wizkid na mpenzi wake Tania Omotayo
Siku hizi wanawake hawana haya kabisa...zamani huwezi kukutana na balaa kama la binti huyu ambaye ni raia wa Nigeria lakini anaishi Houston Caroline Ikpea aliyeibuka kwenye twitter na kuanza kumparamia kwa maneno mpenzi wa Wizkid, Tania Omotayo hadharani!
Binti huyu ametumia mtandao wa twitter na kudai yeye ndie mpenzi wa Wizkid anayemridhisha huku akisema Tania atabaki kujiita mpenzi tu huku taarifa zikidai kuwa huwa anajirusha na Wizkid muda wote anapokuwa USA!

Soma alichokiandika na ucheki picha za binti huyu...


Huyu ndio binti anayedai ni mpenzi wa Wizkid

0 Maoni:

Toa Maoni