Picha mpya zinazowanyesha Beyonce ,Jay Z na familia ya Beyonce kitaani

 
Hizi ni picha mpya zinazowaonyesha wanandoa na mastaa wanaodaiwa wapo kwenye mgogoro mkubwa huku ikidaiwa ndoa yao ipo mashakani Beyonce na Jay Z wakiwa pamoja na familia yao yaani mama wa Beyonce,Solange na mtoto wa kiume wa Solange wakiwa New Orlens kwa ajili ya chakula cha mchana.

Pia hii ni mara ya pili Jay Z anaonekana na ameongozana na Solange toka ugomvi uliotokea kati yao kwenye lifti.

0 Maoni:

Toa Maoni