Rapa Souljaboy ameumbuka baada ku-post picha Instagram na video akionyesha ameshika bunda la madolari (Dollar) na kugundulika pesa hizo ni pesa feki na kuwa dola iko juu yanayofata ni makaratasi yaliyokatwa kwa ustadi mkubwa na kuonekana kama pesa!
![]() |
| Angalia kwa makini utagundua pesa hizo ni feki |
Na haya ndio aliyoambulia kutoka kwa shabiki..michano!



0 Maoni:
Toa Maoni