Vera Sidika apewa makavu baada ya kujisifia kuwa katengeza matiti feki


Baada ya kujisifia kuwa sasa amerudi na midoli/mapacha wawili kifuani (matiti bandia) baada ya kujitengeneza upya na kudai hakuna linaloshindikana chini ya jua,mrembo kutoka Kenya aliyetikisa vichwa vya habari baada ya kutokea kwenye video ya P Unit You Guy kama video Qeen  na kusababisha video hiyo kufungiwa kwa kukosa maadili Vera Sidika amekutana na makavu kutoka kwa wananchi wenye hasira. (Angalia picha alipost Instagram na alichoandika kuhusu matiti yake hapo chini)


“Feels good to be back. Had really missed Nairobi. Now…y’all be nice and say hello to my new twins  #FakeBoobAlert #CompleteFakenessLoading #NoMorePaddedBras #ActuallyNoBrasAtAll #Implants #CantWaitForThemToDropAndPopBetter #SexyKenyanGirl #WithMoneyAllThingsArePossible #IfYouFlatChest #YouCanBuyYourselfSomeBoobs #NewAddition #INeedNamesForTheseTwins”
 Hii ni baadhi ya michano kutoka kwa mashibiki



0 Maoni:

Toa Maoni