Hii ni list ya mastaa waliowahi kuchemsha vibaya mno kwenye red carpet kiasi cha kuacha gumzo midomoni. Wacheki wakiwa ndani ya mavazi yao yaliyofanya watajwe kwa kuchemsha mpaka leo.
![]() |
Fantasia kwenye MTV Video Music Awards mwaka 2006 |
![]() |
Lil Kim mwaka 2001 kwenye MTV Movie Awards..dada alichemka hatari duh! |
![]() |
PINK nae hii ilikuwa ni 2001 kwenye Billboard Awards hiki kivazi kinafanana na cha Rihanna cha juzijuzi ila hiki cha kizamani lol! |
![]() |
Mmmh..Britney Spears mwaka 2000 kwenye Billboard Music Awards |
![]() |
Celine Dion mwaka 2003 kwenye Billboard Music Award |
![]() |
Ciara hii ilikuwa ni 2004 Billboard Music Awards |
![]() |
Mary J. Blige mwaka 2001 kwenye Billboard Music Awards |
![]() |
Huyu anaitwa Gabourey Sidibe na hii ilikuwa mwaka 2014 kwenye Golden Globes |
![]() |
Kerli mwaka 2012 Billboard Music Awards |
![]() |
Whoopi Goldberg kwenye Oscars mwaka 1993 |
![]() |
Victoria Rowell kwenye 61st Annual Primetime Emmy Awards..dada katupia kitu cha Obama |
![]() |
Ashley Olsen ndani dira mwaka 2013 “PUNK: Chaos To Couture” Costume Institute Gala |













0 Maoni:
Toa Maoni