Amber Rose aibuka nusu utupu kwenye red carpet Tuzo za MTV VMA's!


Huku kila staa aking'aa kivyake kwenye zulia jekundu Tuzo za MTV VMA 2014 zilizofanyika jumapili Carlifonia Marekani, Mrs.Wizy Khalifa mwanamitindo Amber Rose aliibuka na kivazi cha ajabu ambacho  asilimia kubwa ya maungo yake yalikuwa wazi huku kukiwa na maneno kuwa eti alitaka kumfunika Rihanna!

MamuAfrica blog inaomba uchukue Time yako kushuka chini kuangalia kivazi hicho pamoja na vingine kutoka kwa mastaa wenye majina makubwa...


Amber Rose na Wiz Khalifa
Beyonce
Kim Kardashian
Nick Minaj
Igy Azalea
Katy Perry na mpenzi
Mama kijacho Kelly Rowland
Jennifer Lopez
Kendal, Kim na Kyle Kardashian
Tylor Swift

0 Maoni:

Toa Maoni