Baada ya ndoa yake kushindikana Robin Thickle aopoa binti mbichii!


Baada ya kujaribu kwa kila njia na kushindikana kuirudisha ndoa yake iliyodumu kwa miaka 9 ambayo ilivunjika kisa kikiwa ni kumsaliti mkewe ,mwanamuziki Robin Thickle sasa amesonga mbele na kuopoa binti wa miaka 19 ambae ni mwanamitindo aitwaye April Love Geary.

Binti huyo ali-share selfies wakiwa kitandani huku nyingine wakionekana kwenye gari wakipiga misele mitaa ya Los Angeles.

Huyu ndio mrembo wa sasa wa Robin Thickle
Robin na mpenzi wake wakipiga misele LA

0 Maoni:

Toa Maoni