P-square wafiwa na baba yao..


Mapacha wawili wanaowakilisha Nigeria kwenye anga ya muziki P-Square jana wamempoteza baba yao mzazi ikiwa ni miaka miwili tangu mama yao afariki.

Mungu ailaze roho yake mahala pema peponi Amen!


0 Maoni:

Toa Maoni