Ferrari lateketea kwa moto na kubaki majivu Thursday, February 05, 2015 Hii imetokea Kuala Lumpur, Malaysia eo.. Inaweza kuwa si habari lakini inageuka habari kwa sababu aina ya gari lenyewe na gharama yake. Ferrari limeteketea kwa moto loote! Cheki picha hapa.. Share kwenye: Facebook Twitter Maryam Kitosi Ni Mtangazaji, Mwandishi, Blogger na Mama wa mtoto mmoja. Karibu katika kijiwe cha habari motomoto, burudani na udaku.
0 Maoni:
Toa Maoni