KINA DADA WATANO BOMBA ZAIDI WASHIRIKI WA BIG BROTHER MWAKA HUU!

#1:Dilish kutoka Namibia
Ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu akiwa anasomea Psychology. 




#2:Feza mwanadada kutoka nchini Tanzania

Aliwahi kushiriki mashindano ya urembo, ni mwanamuziki pia ni mama wa mtoto mmoja.



#3:Pokello kutka Zimbambwe.
Ni mjasiriamali anamiliki duka la viatu.





#4:Cleo kutoka Zambia
Ni mwanamuziki Lusaka lakini ni mama wa mtoto mmoja pia wa kike



#5:Beverly kutoka Nigeria
Ni mwanamitindo


0 Maoni:

Toa Maoni