MATATU "DALADALA" ZA KENYA UNASAFIRI HUKU UKIPERUZI INTERNET

Abiria Kenya sasa wanaweza kusafiri kwa kutumia mabasi ya abiria maarufu kama MATATU huku wakiperuzi Internet.
Matatu hizo za Kenya zimeamua kuweka huduma ya bure ya Internet kwa abiria wao wakati wakienda ama kutoka kazini.
Ukiwa ndani ya Matatu hizo unaweza kusoma barua pepe na kusoma habari kwenye mitandao mbali mbali.



0 Maoni:

Toa Maoni