Siku za nyuma Huddah aliwahi kupost picha inayoyafanana na hiyo lakini alikana kuvuta bangi na kudai alikuwa anatumia zamani kutokana na mambo ya kidaktari na keshaacha.
"I used to smoke weed. It was under prescription my doctor had given me but now i don’t smoke weed." Alisema Huddah.


0 Maoni:
Toa Maoni