Kaka wa P Square apata first lady kwenye lebo yake

Kulikuwa na tetesi kuwa P Square wamem-sign mwanandada mrembo Cynthia Morgan katika lebo yao ya muziki Square Records na ni mwanamke wa kwanza mwanamuziki kuwa signed katika lebo hiyo, hizo habari si za kweli!

Kaka wa Peter na Paul,Jude Okoye ndiye aliyesign na mwanadada huyo mrembo katika record label yake binafsi inayoitwa Northside Music Inc ambayo ni tofauti na ile ya P square yaani Square Record na tayari mwanadada huyo amesha-release video ya wimbo wake mpya Kuchi Kuchi.

Kupitia ukursa wake wa twitter Jude Okoye kathibitisha hilo
                 

0 Maoni:

Toa Maoni