![]() |
| Peter Manyika alipokuwa katika studio za Times fm |
2:Ana miaka ishirini sasa tangu aanze mambo ya soka.
3:Hajaanza muziki hivi karibu, alianza kitambo na alishatoa album ila akapata safari ya kwenda Shelisheli kwa ajili ya soka hivyo akaacha muziki kwanza na album yake haikutamba maana haikupata promo ya kutosha.
4:Style yake ya muziki inaitwa MAKAMA (Mashariki,Kati,Magharibi). Anasema ameingia rasmi kwenye muziki sasa na album yake ya kwanza inaitwa Wananipeleka puta.Ana wimbo unaitwa Wololo ambao unafanya vizuri na Manabii aliowashirikisha Fid Q na Mad Ice.
![]() |
| Peter Mnyika katika Hatua Tatu ya Times fm |




0 Maoni:
Toa Maoni